Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

WAPI NIVAE BIKINI? HUDDAH MONROE


msanii huddah monroe model wa kenya, leo ametoa kauli ambayo inamshangaza sana hususan kwa wale funs wake pamoja na jamii kiujumla, amefunguka kupitia mtandao wa makubwa haya blog yakuwa amekuwa akipata shida sana kutoka kwa mashabiki zake akiwa anapost picha akiwa amevaa bikini, sasa mwanadada huyo anuliza sasa hao mashabiki wake wanatakje? Au ukiwa kama mdau wa huddah monroe anauliza ni sehemu gani ambayo anatakiwa yeye avae bikini? maneno ya huddah haya hapa Them holier than thou People who complain about bikini pics like someone is supposed to go in water wearing a wedding dress should kiss my..... Tusi...

WEMA NA ZARI WA KIPINDI HICHOO, NANI MKALI?



Haya ni maisha bwana leo mtu yupo hivi kisho ivi na weza sema auwezi aminikama awa ndio wanao kimbiza bongo kipindi hiki chote ila uku ndiko waliko tokea kimaisha

ZARI 
WEMA SEPETU 

SASA NI PROJECT YA YUSUPH MLELA NA ESHA BUHETI

 
“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo  Steven Mengere 'Steve Nyerere’ aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya wawili hao hapo juu.

HUDDAH MONROE ACHAFUA HALI YA HEWA MTANDAONI BAADA YA KUPOST PICHA AKIWA NUSU.......



Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa.
Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti.
Mashabiki wake hawakusita kumchana.

“Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being n@ked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed.

“Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme.

BAADA YA KAZI NGUMU KWA MA JUDGE, HATIMAYE MISS RWANDA 2015 APATIKANA


Doriane Kundwa was crowned Miss Rwanda 2015 in front of an excited audience at the Kigali Serena Hotel on February 21.

ZARI AMPEKUA DIAMOND PLATNUMZ IKULU KUCHEKI USALAMA WA MALI ZAKE


Mjini Msingi kiuno , Kauli inayodhihirishwa na Zari hapa kwenye hizi picha , Zari amenaswa na mpiga picha wa Diamond akikagua mali zake kama zipo salama ..


PICHA 7 KALI ZA MREMBO ANAEWANYIMA USINGIZI WAKINA SEPETU



Have a look, useme mwenyewe how l0vely she is na jinsi mavaz yanavyomkaa ktk figa yake hiyo kali. Ni Lady Kay G, Angalia pics zaid hapo chini:-










Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga